Home » 2017 » November » 05

SEHEMU YA TISA

Kutoka sehemu ya nane:

Sasa nyumba ya Kassim imeshajulikana na mwizi ambaye alikuja mjini kuitafuta, kutokana na kuwa nyumba zote za mtaa ule zilikuwa zikifanana, mwizi akaona ni njia nzuri aweke alama ya chaki kwenye mlango wa nyumba ya Kassim ili asipotee atakaporudi mara nyingine. Lakini hata hivyo, Marjane anakuja kuona alama hiyo na kuamua kuweka alama hiyohiyo katika kila mlango wa nyumba zote zilizopo katika mtaa ... Read more »

Category: Stories & Entertainment | Views: 717 | Added by: badshah | Date: 05/Nov/2017 | Comments (8)