SEHEMU YA SITA
MAZISHI YA KASSIM
Kutoka sehemu ya tano:
Alibaba aliamua kwenda msituni ili kumtafuta kaka yake, lakini kwa bahati mbaya akakuta kaka yake alishauliwa na wezi wale 40 na maiti ya kaka yake huyo kuning’inizwa juu ya pango ndani. Kwa huzuni kubwa sana Alibaba aliichukua maiti ile
...
Read more »