Home » 2017 » December » 16

SEHEMU YA KUMI NA TATU

JIHADHARI SANA ALIBABA!!!

 

Kutoka sehemu ya kumi na mbili:

Marjane agundua siri ya kiongozi wa wezi, kwa ujanja wake afanikiwa kuwauwa wezi wote thelathini na tisa bila ya kumjulisha yeyote ndani ya nyumba na bila hata ya vurugu yoyote kutokea ndani ya nyumba. Kiongozi wezi agundua kwamba wenzake wote wameshauliwa bila ya yeye kufahamu, sasa atambua kwamba hayuko salama ndani ya ile nyumba na kwa siri aamua kutoroka kwa kuruka ukuta wa nyuma ya nyumba ile. Alibaba asubuhi sa ... Read more »

Category: Stories & Entertainment | Views: 639 | Added by: badshah | Date: 16/Dec/2017 | Comments (0)