Home » Articles » HEALTH

Entries in category: 34
Shown entries: 7-9
Pages: « 1 2 3 4 5 ... 11 12 »

Sort by: Date · Name · Rating · Comments · Views

JINSI YA KUEPUKANA NA CHUNUSI KWA HARAKA ZAIDI

 

Chunusi zimekuwa ni hali ya kawaida katika ngozi ambazo watu wengi sasa huathirika na hizo. Hali hii ya kuharibika kwa ngozi hutokea pale matezi ya Sebaceous (oil glands) yaliyokuwa katika ngozi huathiriwa na vijidudu, kuvimba na kutunga usaha. Huonekana sana sehemu za usoni, shingoni, mgongoni na hata kwenye mabega. Ingawa sio hali ya hatari kwa wanadamu lakini chunusi huwafanya watu kuonekana wabaya kutokana na muonekano wake. Read More .........

HEALTH | Views: 41182 | Added by: Admin | Date: 08/Sep/2013 | Comments (3)

MAHITAJI NA KAZI YA SUKARI MWILINI


Sukari ni moja katika familia ya Carbohydrates.

Carbohydrates ndio chanzo kikuu cha nguvu katika miili yetu. Hata hivyo, sio kwamba carbohydrates zote zinaweza kunyonywa au kutumiwa na miili yetu kama ilivyo. Kabla ya kuendelea hebu tuangalie aina za carbohydrates.

Carbohydrates ina aina kuu tatu, Monosaccharides, Disaccharides na Polysaccharides.

Monosaccharides kwa jina lingine hujulikana kama sukari rahisi (simple sugar) ambayo humeng’enywa moja kwa moja bila ya kuvunjwa vunjwa katika mfumo wa mmeng’enyo.Read More...

HEALTH | Views: 1575 | Author: Yahyou M. Yahya | Added by: Admin | Date: 22/Jul/2013 | Comments (0)

NJIA ZA KUTUMIA ILI UACHE KUVUTA SIGARA


Tumeangalia madhara ya uvutaji wa sigara katika makala iliyopita, hebu tuangalie sasa ni njia zipi ambazo mtu anaweza kuzitumia ili aweze kuacha sigara. Lakini jambo la kufata kwanza kabla ya kufuata njia hizi ni kwamba uwe na nia hasa ya kuacha, Lakini kinyume na hapo hutaweza kufuata hatua hizi. Read More...

HEALTH | Views: 1299 | Author: Yahyou M. Yahya | Added by: Admin | Date: 19/Jul/2013 | Comments (0)